John Kerry azuru mji wa Mogadishu

John Kerry azuru Mogadishu
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry amewasili katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu ambapo anakutana na rais Hassan Sheikh Mohamud,viongozi wa eneo la Afrika mashariki pamoja na mashirika ya kijamii.
Ni waziri wa kwanza wa kigeni kutoka Marekani kuutembelea mji huo.
Kerry hataondoka katika uwanja wa ndege wa mji huo unaolindwa sana.
Rais wa Somalia
Wizara ya maswala ya kigeni nchini Marekani inataka kutoa ujumbe kwa kundi la Alshabaab kwamba halipatii kisogo taifa la Somalia.
Marekani imetoa mamia ya madola nchini Somalia katika siku za hivi karibuni.
Ndege zisozokuwa na rubani za Marekani zimewaua viongozi kadhaa wa kundi la Alshabaab.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment